1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, Wakolosai 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ingawa sipo katika mwili, nipo pamoja nanyi katika roho, nikishangilia kuona utaratibu wenu mzuri+ na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.+
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
5 Ingawa sipo katika mwili, nipo pamoja nanyi katika roho, nikishangilia kuona utaratibu wenu mzuri+ na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.+