Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Unapaswa kuwaweka rasmi Walawi wasimamie hema la Ushahidi+ na vyombo vyake vyote na kila kitu kilichomo.+ Watabeba hema hilo na vyombo vyake vyote,+ nao watalitunza+ na kupiga kambi kulizunguka.+

  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Hezekia akawaweka makuhani katika vikundi vyao+ na Walawi katika vikundi vyao,+ kila kuhani na Mlawi katika utumishi wake,+ kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, ili wahudumu na kushukuru na kusifu katika malango ya nyua* za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki