50 Na wewe mwenyewe uweke rasmi Walawi juu ya maskani ya Ushuhuda+ na juu ya vyombo vyake vyote na juu ya kila kitu kilicho chake.+ Wao wenyewe wataichukua maskani na vyombo vyake vyote,+ nao wenyewe watahudumu+ kwenye hiyo maskani; nao watapiga kambi kuizunguka maskani.+