31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.
12 Nao watachukua vyombo+ vyote vya huduma ambavyo wanavitumia kwa ukawaida kuhudumu katika mahali patakatifu, nao watavitia katika kitambaa cha bluu na kuvifunika kwa kifuniko cha ngozi za sili+ na kuviweka juu ya ufito.