Kutoka 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Nawe utafanya meza+ ya mbao za mshita, mikono miwili urefu wake na mkono mmoja upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake. Waebrania 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+
23 “Nawe utafanya meza+ ya mbao za mshita, mikono miwili urefu wake na mkono mmoja upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake.
2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+