Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha akaiweka meza+ katika lile hema la mkutano upande wa maskani kuelekea kaskazini nje ya lile pazia,

  • Mambo ya Walawi 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe utaziweka katika vikundi viwili vya tabaka, sita katika kikundi kimoja cha tabaka,+ juu ya meza ya dhahabu safi mbele za Yehova.+

  • Hesabu 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.

  • Waebrania 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki