Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 naye akapanga mstari wa mikate+ juu yake mbele za Yehova, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • 1 Samweli 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini yule kuhani akamjibu Daudi na kusema: “Hakuna mkate wa kawaida mkononi mwangu, lakini kuna mkate mtakatifu;+ ikiwa tu hao vijana wamejiepusha na wanawake.”+

  • Marko 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu, katika lile simulizi juu ya Abiathari+ mkuu wa makuhani, akala mikate ya toleo,+ ambayo si halali+ kwa mtu yeyote kula ila makuhani, naye akawapa wale watu waliokuwa pamoja naye sehemu yake pia?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki