4 Lakini yule kuhani akamjibu Daudi na kusema: “Hakuna mkate wa kawaida mkononi mwangu, lakini kuna mkate mtakatifu;+ ikiwa tu hao vijana wamejiepusha na wanawake.”+
26 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu, katika lile simulizi juu ya Abiathari+ mkuu wa makuhani, akala mikate ya toleo,+ ambayo si halali+ kwa mtu yeyote kula ila makuhani, naye akawapa wale watu waliokuwa pamoja naye sehemu yake pia?”+