Kutoka 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utauweka mkate wa wonyesho juu ya meza hiyo mbele zangu daima.+ Mathayo 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?