-
Mambo ya Walawi 24:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “Nawe utachukua unga laini na kuuoka uwe keki kumi na mbili za mviringo. Kila keki itafanyizwa kwa sehemu mbili za efa.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 13:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+
-