5 kwa sababu ya uhakika wa kwamba Abrahamu alisikiliza sauti yangu na kuendelea kushika wajibu wake kwangu, amri zangu, masharti yangu, na sheria zangu.”+
19 Na wakati ambapo wingu hilo lilirefusha kukaa kwake juu ya maskani hiyo siku nyingi, wana wa Israeli pia walishika wajibu wao kwa Yehova kwamba wasiondoke.+