Kutoka 40:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hata hivyo, ikiwa wingu hilo halikuinuka, basi hawakuwa wakivunja kambi mpaka siku ambayo liliinuka.+ Hesabu 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao.
37 Hata hivyo, ikiwa wingu hilo halikuinuka, basi hawakuwa wakivunja kambi mpaka siku ambayo liliinuka.+
52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao.