Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano.

  • Hesabu 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyopiga kambi kwa migawanyo yao ya makabila matatu,+ na hivyo ndivyo walivyoondoka,+ kila mmoja kwa familia zake kulingana na nyumba ya baba zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki