Hesabu 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao. Hesabu 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano. Hesabu 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Balaamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli akikaa kulingana na makabila yake,+ ndipo roho ya Mungu ikaja juu yake.+
52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao.
2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano.
2 Balaamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli akikaa kulingana na makabila yake,+ ndipo roho ya Mungu ikaja juu yake.+