Hesabu 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano. Hesabu 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kutoka juu ya miamba nawaona wao,Na kutoka vilimani nawatazama wao.Wakiwa kikundi cha watu wanaendelea kukaa wakiwa wamejitenga,+Nao hawajihesabu katikati ya mataifa.+
2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano.
9 Kwa maana kutoka juu ya miamba nawaona wao,Na kutoka vilimani nawatazama wao.Wakiwa kikundi cha watu wanaendelea kukaa wakiwa wamejitenga,+Nao hawajihesabu katikati ya mataifa.+