24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+
53 Kwa maana wewe mwenyewe uliwatenga wawe urithi wako kutoka katika vikundi vyote vya watu wa dunia,+ kama vile ulivyosema kupitia mtumishi wako Musa+ ulipokuwa ukiwatoa mababu zetu kutoka Misri, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
8 Ndipo Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero: “Kuna kikundi fulani cha watu waliotawanyika+ na kujitenga kati ya vikundi vya watu katika wilaya zote za utawala wako;+ na sheria zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatendi sheria za mfalme,+ na haifai kwa mfalme kuwaachilia.