Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 33:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Israeli atakaa katika usalama,+

      Chemchemi ya Yakobo peke yake,+

      Katika nchi ya nafaka na divai mpya.+

      Naam, mbingu zake zitatiririsha umande.+

  • 1 Wafalme 8:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Kwa maana wewe mwenyewe uliwatenga wawe urithi wako kutoka katika vikundi vyote vya watu wa dunia,+ kama vile ulivyosema kupitia mtumishi wako Musa+ ulipokuwa ukiwatoa mababu zetu kutoka Misri, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • Esta 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero: “Kuna kikundi fulani cha watu waliotawanyika+ na kujitenga kati ya vikundi vya watu katika wilaya zote za utawala wako;+ na sheria zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatendi sheria za mfalme,+ na haifai kwa mfalme kuwaachilia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki