Kumbukumbu la Torati 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni; Kumbukumbu la Torati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+
11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni;
13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+