Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 33:1

Marejeo

  • +Mwa 49:28; Lu 24:50
  • +Yos 14:6; Zb 90:utangulizi

Kumbukumbu la Torati 33:2

Marejeo

  • +Kut 19:18
  • +Amu 5:4
  • +Hab 3:3
  • +Da 7:10; Gal 3:19; Yud 14
  • +Zb 68:17

Kumbukumbu la Torati 33:3

Marejeo

  • +Kum 7:8; 23:5; Zb 47:4; Ho. 11:1
  • +Kut 19:6; Zb 50:5
  • +Kut 19:23
  • +Kut 20:19

Kumbukumbu la Torati 33:4

Marejeo

  • +Kut 24:8; Yoh 1:17; Mdo 15:5; 1Ko 9:9
  • +Kum 4:8; Mdo 7:53

Kumbukumbu la Torati 33:5

Marejeo

  • +Kum 32:15; Isa 44:2
  • +Kut 18:25; 19:7; Hes 1:44
  • +Hes 1:46

Kumbukumbu la Torati 33:6

Marejeo

  • +Mwa 49:3; Yos 22:1; 1Nya 5:1
  • +Hes 26:7; Yos 13:15

Kumbukumbu la Torati 33:7

Marejeo

  • +Mwa 49:8; 1Nya 5:2
  • +Zb 78:68
  • +Amu 1:2; 2Sa 7:1, 9

Kumbukumbu la Torati 33:8

Marejeo

  • +Mwa 49:5; Hes 3:12; 18:24
  • +Kut 28:30; Law 8:8; Ezr 2:63
  • +Kut 32:26; Ebr 7:26
  • +Kut 17:7; Kum 6:16
  • +Hes 20:13

Kumbukumbu la Torati 33:9

Marejeo

  • +Kut 32:27; Law 10:6
  • +Law 10:7
  • +Mal 2:5

Kumbukumbu la Torati 33:10

Marejeo

  • +Law 10:11; Kum 17:9; Yer 18:18
  • +2Nya 15:3; 17:9; Mal 2:7
  • +Kut 30:7; Hes 16:40
  • +Law 1:9; Zb 51:19

Kumbukumbu la Torati 33:11

Marejeo

  • +Zb 18:32; Isa 40:29; Hab 3:19; Flp 4:13
  • +Kum 18:5; Mal 2:6
  • +Mdo 23:4
  • +Zb 3:7; Amo 5:10

Kumbukumbu la Torati 33:12

Marejeo

  • +Mwa 49:27
  • +2Sa 7:16
  • +Zb 4:8
  • +Yos 18:11; Zb 68:27
  • +Yos 18:28; Amu 1:21; 2Sa 5:9; Zb 125:2

Kumbukumbu la Torati 33:13

Marejeo

  • +Mwa 49:22
  • +Yos 16:1; Met 10:22
  • +Mwa 27:28; Zek 8:12
  • +Mwa 49:25

Kumbukumbu la Torati 33:14

Marejeo

  • +2Sa 23:4
  • +Law 26:5; Zb 65:9

Kumbukumbu la Torati 33:15

Marejeo

  • +Mwa 37:25; Yos 17:18

Kumbukumbu la Torati 33:16

Marejeo

  • +Kum 8:8; Zb 24:1
  • +Kut 3:4; Mdo 7:30
  • +Mwa 49:26; 1Nya 5:1
  • +Mwa 37:7; 1Nya 5:2

Kumbukumbu la Torati 33:17

Marejeo

  • +Yos 17:1
  • +Zb 22:21; 92:10
  • +1Fa 22:11; Zb 44:5
  • +Mwa 48:19

Kumbukumbu la Torati 33:18

Marejeo

  • +Mwa 49:13
  • +Yos 19:10; Amu 5:14
  • +Mwa 49:14; Yos 19:17

Kumbukumbu la Torati 33:19

Marejeo

  • +Zb 4:5
  • +Mwa 49:13; Mt 4:13

Kumbukumbu la Torati 33:20

Marejeo

  • +Mwa 49:19
  • +Yos 13:8, 24
  • +1Nya 12:8; Met 28:1
  • +1Nya 5:18, 20

Kumbukumbu la Torati 33:21

Marejeo

  • +Hes 32:1
  • +Hes 32:21, 27, 33; Yos 1:14, 15; 4:12; 22:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

Kumbukumbu la Torati 33:22

Marejeo

  • +Mwa 49:16
  • +Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
  • +Yos 19:47; Amu 18:27, 29; 1Nya 12:35

Kumbukumbu la Torati 33:23

Marejeo

  • +Mwa 49:21
  • +Yos 19:32

Kumbukumbu la Torati 33:24

Marejeo

  • +Mwa 49:20
  • +Zb 127:3; 128:3
  • +Met 3:4
  • +Kum 32:13; Ayu 29:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 547

Kumbukumbu la Torati 33:25

Marejeo

  • +Kum 8:9

Kumbukumbu la Torati 33:26

Marejeo

  • +Kut 15:11; Zb 86:8; 89:6; Yer 10:6
  • +Kum 32:15; 33:5; Isa 44:2
  • +Zb 68:33
  • +Zb 68:34; 93:1; 104:3

Kumbukumbu la Torati 33:27

Marejeo

  • +Zb 46:11; 90:1; 91:2; 125:2
  • +Isa 40:11; Ho. 11:3
  • +Kum 9:3
  • +Kum 31:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2021, uku. 6

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    9/2021, uku. 2

    Ibada Safi, uku. 120

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1991, uku. 13

Kumbukumbu la Torati 33:28

Marejeo

  • +Yer 23:6; 33:16
  • +Zb 68:26; Isa 48:1
  • +Kum 8:8
  • +Kum 11:11; 33:13

Kumbukumbu la Torati 33:29

Marejeo

  • +Zb 33:12; 144:15; 146:5
  • +Kum 4:7; 2Sa 7:23; Zb 147:20
  • +Zb 27:1; Isa 12:2
  • +Mwa 15:1; Zb 115:9
  • +Amu 7:20
  • +2Sa 22:45; Zb 66:3; 81:15
  • +Kum 32:13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 33:1Mwa 49:28; Lu 24:50
Kum. 33:1Yos 14:6; Zb 90:utangulizi
Kum. 33:2Kut 19:18
Kum. 33:2Amu 5:4
Kum. 33:2Hab 3:3
Kum. 33:2Da 7:10; Gal 3:19; Yud 14
Kum. 33:2Zb 68:17
Kum. 33:3Kum 7:8; 23:5; Zb 47:4; Ho. 11:1
Kum. 33:3Kut 19:6; Zb 50:5
Kum. 33:3Kut 19:23
Kum. 33:3Kut 20:19
Kum. 33:4Kut 24:8; Yoh 1:17; Mdo 15:5; 1Ko 9:9
Kum. 33:4Kum 4:8; Mdo 7:53
Kum. 33:5Kum 32:15; Isa 44:2
Kum. 33:5Kut 18:25; 19:7; Hes 1:44
Kum. 33:5Hes 1:46
Kum. 33:6Mwa 49:3; Yos 22:1; 1Nya 5:1
Kum. 33:6Hes 26:7; Yos 13:15
Kum. 33:7Mwa 49:8; 1Nya 5:2
Kum. 33:7Zb 78:68
Kum. 33:7Amu 1:2; 2Sa 7:1, 9
Kum. 33:8Mwa 49:5; Hes 3:12; 18:24
Kum. 33:8Kut 28:30; Law 8:8; Ezr 2:63
Kum. 33:8Kut 32:26; Ebr 7:26
Kum. 33:8Kut 17:7; Kum 6:16
Kum. 33:8Hes 20:13
Kum. 33:9Kut 32:27; Law 10:6
Kum. 33:9Law 10:7
Kum. 33:9Mal 2:5
Kum. 33:10Law 10:11; Kum 17:9; Yer 18:18
Kum. 33:102Nya 15:3; 17:9; Mal 2:7
Kum. 33:10Kut 30:7; Hes 16:40
Kum. 33:10Law 1:9; Zb 51:19
Kum. 33:11Zb 18:32; Isa 40:29; Hab 3:19; Flp 4:13
Kum. 33:11Kum 18:5; Mal 2:6
Kum. 33:11Mdo 23:4
Kum. 33:11Zb 3:7; Amo 5:10
Kum. 33:12Mwa 49:27
Kum. 33:122Sa 7:16
Kum. 33:12Zb 4:8
Kum. 33:12Yos 18:11; Zb 68:27
Kum. 33:12Yos 18:28; Amu 1:21; 2Sa 5:9; Zb 125:2
Kum. 33:13Mwa 49:22
Kum. 33:13Yos 16:1; Met 10:22
Kum. 33:13Mwa 27:28; Zek 8:12
Kum. 33:13Mwa 49:25
Kum. 33:142Sa 23:4
Kum. 33:14Law 26:5; Zb 65:9
Kum. 33:15Mwa 37:25; Yos 17:18
Kum. 33:16Kum 8:8; Zb 24:1
Kum. 33:16Kut 3:4; Mdo 7:30
Kum. 33:16Mwa 49:26; 1Nya 5:1
Kum. 33:16Mwa 37:7; 1Nya 5:2
Kum. 33:17Yos 17:1
Kum. 33:17Zb 22:21; 92:10
Kum. 33:171Fa 22:11; Zb 44:5
Kum. 33:17Mwa 48:19
Kum. 33:18Mwa 49:13
Kum. 33:18Yos 19:10; Amu 5:14
Kum. 33:18Mwa 49:14; Yos 19:17
Kum. 33:19Zb 4:5
Kum. 33:19Mwa 49:13; Mt 4:13
Kum. 33:20Mwa 49:19
Kum. 33:20Yos 13:8, 24
Kum. 33:201Nya 12:8; Met 28:1
Kum. 33:201Nya 5:18, 20
Kum. 33:21Hes 32:1
Kum. 33:21Hes 32:21, 27, 33; Yos 1:14, 15; 4:12; 22:1
Kum. 33:22Mwa 49:16
Kum. 33:22Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
Kum. 33:22Yos 19:47; Amu 18:27, 29; 1Nya 12:35
Kum. 33:23Mwa 49:21
Kum. 33:23Yos 19:32
Kum. 33:24Mwa 49:20
Kum. 33:24Zb 127:3; 128:3
Kum. 33:24Met 3:4
Kum. 33:24Kum 32:13; Ayu 29:6
Kum. 33:25Kum 8:9
Kum. 33:26Kut 15:11; Zb 86:8; 89:6; Yer 10:6
Kum. 33:26Kum 32:15; 33:5; Isa 44:2
Kum. 33:26Zb 68:33
Kum. 33:26Zb 68:34; 93:1; 104:3
Kum. 33:27Zb 46:11; 90:1; 91:2; 125:2
Kum. 33:27Isa 40:11; Ho. 11:3
Kum. 33:27Kum 9:3
Kum. 33:27Kum 31:4
Kum. 33:28Yer 23:6; 33:16
Kum. 33:28Zb 68:26; Isa 48:1
Kum. 33:28Kum 8:8
Kum. 33:28Kum 11:11; 33:13
Kum. 33:29Zb 33:12; 144:15; 146:5
Kum. 33:29Kum 4:7; 2Sa 7:23; Zb 147:20
Kum. 33:29Zb 27:1; Isa 12:2
Kum. 33:29Mwa 15:1; Zb 115:9
Kum. 33:29Amu 7:20
Kum. 33:292Sa 22:45; Zb 66:3; 81:15
Kum. 33:29Kum 32:13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 33:1-29

Kumbukumbu la Torati

33 Sasa hii ndiyo baraka+ ambayo Musa mtu wa Mungu wa kweli+ aliwabariki nayo wana wa Israeli kabla ya kifo chake. 2 Naye akasema:

“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

 3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+

Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+

Na wao—wao waliegama miguuni pako;+

Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+

 4 (Musa aliweka juu yetu sheria kuwa amri,+

Miliki ya kutaniko la Yakobo.)+

 5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+

Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+

Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+

 6 Rubeni na aishi wala asife,+

Na watu wake wasiwe wachache.”+

 7 Nayo hii ndiyo iliyokuwa baraka ya Yuda,+ alipoendelea kusema:

“Usikie, Ee Yehova, sauti ya Yuda,+

Nawe umlete kwa watu wake.

Mikono yake imeshindania kilicho chake;

Nawe uwe msaidizi juu ya wapinzani wake.”+

 8 Na Lawi akamwambia:+

“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+

Uliyemjaribu huko Masa.+

Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+

 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’

Hata ndugu zake hakuwatambua,+

Na wanawe hakuwajua.

Kwa maana walilishika neno lako,+

Na agano lako waliendelea kulishika.+

10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+

Na Israeli sheria yako.+

Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+

Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+

11 Bariki, Ee Yehova, nguvu zake,+

Na ufurahie utendaji wa mikono yake.+

Waumize vikali viunoni mwao wale wanaoinuka juu yake,+

Na wale wanaomchukia vikali, ili wasiinuke.”+

12 Na Benyamini akamwambia:+

“Mpendwa+ wa Yehova na akae katika usalama kando yake,+

Anapomkinga siku nzima,+

Naye lazima akae katikati ya mabega yake.”+

13 Na Yosefu akamwambia:+

“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+

Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+

Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+

14 Na kwa vitu bora, mazao ya jua,+

Na kwa vitu bora, mazao ya mwezi.+

15 Na kwa vilivyo bora kabisa kutoka katika milima ya mashariki,+

Na kwa vitu bora vya vilima vyenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo,

16 Na kwa vitu bora vya dunia na vitu vinavyoijaza,+

Na kwa kibali cha Yule anayekaa katika kichaka cha miiba.+

Na vije juu ya kichwa cha Yosefu+

Na juu ya utosi wa kichwa cha yule aliyechaguliwa kutoka kati ya ndugu zake.+

17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+

Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+

Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+

Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,

Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

Nao ni maelfu ya Manase.”

18 Naye akamwambia Zabuloni:+

“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+

Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+

19 Wataita vikundi vya watu mlimani.

Huko watatoa dhabihu za uadilifu.+

Kwa maana watanyonya mali nyingi ya bahari+

Na akiba zilizofichika za mchanga.”

20 Naye akamwambia Gadi:+

“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+

Yeye atakaa kama simba,+

Naye atararua mkono, naam, utosi wa kichwa.+

21 Naye atajichagulia sehemu ya kwanza,+

Kwa maana huko fungu la mpaji-sheria linahifadhiwa.+

Na walio vichwa vya watu watajikusanya pamoja.

Hakika atautimiza uadilifu wa Yehova

Na maamuzi yake ya hukumu pamoja na Israeli.”

22 Naye akamwambia Dani:+

“Dani ni mwana-simba.+

Ataruka kutoka Bashani.”+

23 Naye akamwambia Naftali:+

“Naftali ameshiba kibali

Naye amejaa baraka ya Yehova.

Miliki magharibi na kusini.”+

24 Naye akamwambia Asheri:+

“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+

Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+

Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+

25 Chuma na shaba ni makufuli ya lango lako,+

Na kulingana na siku zako ndivyo yalivyo matembezi yako ya starehe.

26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+

Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+

Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+

27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+

Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+

Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+

Naye atasema, ‘Waangamize!’+

28 Na Israeli atakaa katika usalama,+

Chemchemi ya Yakobo peke yake,+

Katika nchi ya nafaka na divai mpya.+

Naam, mbingu zake zitatiririsha umande.+

29 Una furaha, Ee Israeli!+

Ni nani aliye kama wewe,+

Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

Aliye ngao ya msaada wako,+

Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki