Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+

  • Waamuzi 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+

  • Waamuzi 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akawapiga, akirundika miguu juu ya mapaja kwa mauaji makubwa, kisha akashuka, akaanza kukaa katika mpasuko wa mwamba Etamu.+

  • Waamuzi 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akaendelea kuhukumu Israeli katika siku za Wafilisti kwa miaka 20.+

  • Waamuzi 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Samsoni akasema: “Nafsi yangu na ife+ pamoja na Wafilisti.” Ndipo akajiinamisha kwa nguvu, na nyumba ile ikawaangukia wale wakuu wa muungano na watu wote waliokuwamo ndani,+ hivi kwamba wafu alioua wakati wa kifo chake wakawa wengi kuliko wale alioua wakati wa maisha yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki