30 Kisha Samsoni akasema: “Nafsi yangu na ife+ pamoja na Wafilisti.” Ndipo akajiinamisha kwa nguvu, na nyumba ile ikawaangukia wale wakuu wa muungano na watu wote waliokuwamo ndani,+ hivi kwamba wafu alioua wakati wa kifo chake wakawa wengi kuliko wale alioua wakati wa maisha yake.+