Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Dani atawahukumu watu wake akiwa mmoja wa makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+

  • Waamuzi 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.

  • Waamuzi 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana, tazama! utachukua mimba, nawe utazaa mwana, na wembe wowote usipite juu ya kichwa chake,+ kwa maana mtoto huyo atakuwa Mnadhiri+ wa Mungu tangu atakapotoka tumboni;+ naye ndiye atakayeongoza katika kuokoa Israeli kutoka mkononi mwa Wafilisti.”+

  • Waamuzi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+

  • Nehemia 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu hiyo ukawatia mkononi mwa adui zao,+ walioendelea kuwataabisha;+ lakini wakati wa taabu yao walikuwa wakikulilia,+ nawe mwenyewe ulikuwa ukisikia kutoka mbinguni kwenyewe;+ nawe kulingana na rehema+ zako nyingi ukawapa waokozi+ waliowaokoa kutoka mkononi mwa adui zao.+

  • Waebrania 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki