Waamuzi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+ Waamuzi 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+ Waamuzi 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaendelea kuhukumu Israeli katika siku za Wafilisti kwa miaka 20.+
2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+
24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+