Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+

  • Mwanzo 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Isaka akaendelea kumsihi Yehova hasa kwa ajili ya mke wake,+ kwa sababu alikuwa tasa;+ kwa hiyo Yehova akakubali kusihiwa kwa ajili yake,+ na Rebeka mke wake akapata mimba.

  • Luka 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwa sababu Elisabeti alikuwa tasa,+ nao wote wawili walikuwa wamesonga sana katika miaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki