Mwanzo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+ Mwanzo 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Isaka akaendelea kumsihi Yehova hasa kwa ajili ya mke wake,+ kwa sababu alikuwa tasa;+ kwa hiyo Yehova akakubali kusihiwa kwa ajili yake,+ na Rebeka mke wake akapata mimba. Luka 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwa sababu Elisabeti alikuwa tasa,+ nao wote wawili walikuwa wamesonga sana katika miaka.
16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+
21 Naye Isaka akaendelea kumsihi Yehova hasa kwa ajili ya mke wake,+ kwa sababu alikuwa tasa;+ kwa hiyo Yehova akakubali kusihiwa kwa ajili yake,+ na Rebeka mke wake akapata mimba.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwa sababu Elisabeti alikuwa tasa,+ nao wote wawili walikuwa wamesonga sana katika miaka.