Mwanzo 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akamtendea Abramu vema kwa sababu yake, naye akawa na kondoo na ng’ombe na punda na watumishi wa kiume na wajakazi na punda-jike na ngamia.+ Wagalatia 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.
16 Naye akamtendea Abramu vema kwa sababu yake, naye akawa na kondoo na ng’ombe na punda na watumishi wa kiume na wajakazi na punda-jike na ngamia.+
25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.