Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+ Waebrania 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ninyi hamkukaribia kile kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa kwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na tufani,+
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
18 Kwa maana ninyi hamkukaribia kile kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa kwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na tufani,+