Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+

  • Zaburi 68:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Dunia ilitikisika,+

      Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+

      Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+

  • Zaburi 104:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Anaitazama dunia, nayo inatetemeka;+

      Anaigusa milima, nayo inatoa moshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki