9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Nitakujia katika wingu lenye giza,+ ili watu wapate kusikia ninaposema nawe,+ ili wapate kukuamini wewe pia mpaka wakati usio na kipimo.”+ Kisha Musa akamwambia Yehova maneno ya watu.
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+