10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+
4 Kisha akaandika juu ya yale mabamba maandishi yaleyale kama ya kwanza,+ yale Maneno Kumi,+ ambayo Yehova alisema nanyi mlimani toka katikati ya moto+ katika siku ya kutaniko;+ kisha Yehova akanipa hayo.