Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 10:1

Marejeo

  • +Kut 34:1
  • +Kum 10:3

Kumbukumbu la Torati 10:3

Marejeo

  • +Kut 34:4

Kumbukumbu la Torati 10:4

Marejeo

  • +Kut 32:15; 34:28
  • +Kut 20:1; Kum 4:13
  • +Kum 4:36; 5:4
  • +Kut 19:17; Kum 5:22

Kumbukumbu la Torati 10:5

Marejeo

  • +Kut 34:29
  • +Kum 10:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2006, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/15 31

Kumbukumbu la Torati 10:6

Marejeo

  • +Hes 33:31
  • +Hes 20:23, 24; 33:38
  • +Hes 20:28

Kumbukumbu la Torati 10:7

Marejeo

  • +Hes 33:33

Kumbukumbu la Torati 10:8

Marejeo

  • +Hes 1:50; 3:6; 8:14; 16:9
  • +Hes 3:31; 4:15; 1Nya 15:15
  • +Kum 18:5; 2Nya 29:11
  • +Hes 6:23; Kum 21:5; 2Nya 30:27

Kumbukumbu la Torati 10:9

Marejeo

  • +Hes 18:24; 26:62; Kum 18:1
  • +Hes 18:20

Kumbukumbu la Torati 10:10

Marejeo

  • +Kut 24:18; 34:28
  • +Kut 32:14
  • +Eze 33:11

Kumbukumbu la Torati 10:11

Marejeo

  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 10:12

Marejeo

  • +Mik 6:8
  • +Kum 5:29; 6:13; Zb 34:9; Met 8:13
  • +Kum 5:33; Yos 22:5; Eze 11:20
  • +Kum 30:16
  • +Kum 6:5; 11:13; Lu 10:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 25

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2009, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 10/1 10

Kumbukumbu la Torati 10:13

Marejeo

  • +Kut 24:7
  • +Kum 6:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2009, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 10/1 10

Kumbukumbu la Torati 10:14

Marejeo

  • +Zb 89:11; 115:16; Isa 66:1
  • +1Nya 29:11; Zb 24:1; 1Ko 10:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 10:15

Marejeo

  • +Kum 4:37; Zb 105:6

Kumbukumbu la Torati 10:16

Marejeo

  • +Kum 30:6; Yer 4:4; Ro 2:29; Flp 3:3; Kol 2:11
  • +Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 13

Kumbukumbu la Torati 10:17

Marejeo

  • +Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zb 97:9
  • +Zb 136:3
  • +Kum 7:21; Ne 1:5; 9:32
  • +Ayu 34:19; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9
  • +2Nya 19:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125

    Mkaribie Yehova, uku. 114

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 114

Kumbukumbu la Torati 10:18

Marejeo

  • +Zb 68:5; 146:9; Yak 1:27
  • +Law 19:10; Kum 24:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 113-114

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 113-114

Kumbukumbu la Torati 10:19

Marejeo

  • +Law 19:34
  • +Kut 22:21

Kumbukumbu la Torati 10:20

Marejeo

  • +Kum 6:13
  • +Lu 4:8
  • +Kum 13:4
  • +Kum 6:13

Kumbukumbu la Torati 10:21

Marejeo

  • +Kut 15:2; Zb 105:45; Ufu 19:6
  • +2Sa 7:23

Kumbukumbu la Torati 10:22

Marejeo

  • +Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
  • +Mwa 15:5; Kum 1:10; Ne 9:23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 10:1Kut 34:1
Kum. 10:1Kum 10:3
Kum. 10:3Kut 34:4
Kum. 10:4Kut 32:15; 34:28
Kum. 10:4Kut 20:1; Kum 4:13
Kum. 10:4Kum 4:36; 5:4
Kum. 10:4Kut 19:17; Kum 5:22
Kum. 10:5Kut 34:29
Kum. 10:5Kum 10:2
Kum. 10:6Hes 33:31
Kum. 10:6Hes 20:23, 24; 33:38
Kum. 10:6Hes 20:28
Kum. 10:7Hes 33:33
Kum. 10:8Hes 1:50; 3:6; 8:14; 16:9
Kum. 10:8Hes 3:31; 4:15; 1Nya 15:15
Kum. 10:8Kum 18:5; 2Nya 29:11
Kum. 10:8Hes 6:23; Kum 21:5; 2Nya 30:27
Kum. 10:9Hes 18:24; 26:62; Kum 18:1
Kum. 10:9Hes 18:20
Kum. 10:10Kut 24:18; 34:28
Kum. 10:10Kut 32:14
Kum. 10:10Eze 33:11
Kum. 10:11Mwa 15:18
Kum. 10:12Mik 6:8
Kum. 10:12Kum 5:29; 6:13; Zb 34:9; Met 8:13
Kum. 10:12Kum 5:33; Yos 22:5; Eze 11:20
Kum. 10:12Kum 30:16
Kum. 10:12Kum 6:5; 11:13; Lu 10:27
Kum. 10:13Kut 24:7
Kum. 10:13Kum 6:24
Kum. 10:14Zb 89:11; 115:16; Isa 66:1
Kum. 10:141Nya 29:11; Zb 24:1; 1Ko 10:26
Kum. 10:15Kum 4:37; Zb 105:6
Kum. 10:16Kum 30:6; Yer 4:4; Ro 2:29; Flp 3:3; Kol 2:11
Kum. 10:16Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27
Kum. 10:17Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zb 97:9
Kum. 10:17Zb 136:3
Kum. 10:17Kum 7:21; Ne 1:5; 9:32
Kum. 10:17Ayu 34:19; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9
Kum. 10:172Nya 19:7
Kum. 10:18Zb 68:5; 146:9; Yak 1:27
Kum. 10:18Law 19:10; Kum 24:14
Kum. 10:19Law 19:34
Kum. 10:19Kut 22:21
Kum. 10:20Kum 6:13
Kum. 10:20Lu 4:8
Kum. 10:20Kum 13:4
Kum. 10:20Kum 6:13
Kum. 10:21Kut 15:2; Zb 105:45; Ufu 19:6
Kum. 10:212Sa 7:23
Kum. 10:22Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
Kum. 10:22Mwa 15:5; Kum 1:10; Ne 9:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 10:1-22

Kumbukumbu la Torati

10 “Wakati huo Yehova aliniambia, ‘Jichongee mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza,+ nawe uje kwangu juu mlimani, nawe utajitengenezea sanduku la mbao.+ 2 Nami nitaandika juu ya mabamba hayo yale maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza, ambayo uliyavunja, nawe utayaweka ndani ya sanduku hilo.’ 3 Kwa hiyo nikatengeneza sanduku la mbao za mshita, nikachonga mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza+ na kupanda juu mlimani, nayo yale mabamba mawili yalikuwa mkononi mwangu. 4 Kisha akaandika juu ya yale mabamba maandishi yaleyale kama ya kwanza,+ yale Maneno Kumi,+ ambayo Yehova alisema nanyi mlimani toka katikati ya moto+ katika siku ya kutaniko;+ kisha Yehova akanipa hayo. 5 Ndipo nikageuka, nikashuka kutoka mlimani+ na kuweka yale mabamba katika sanduku nililokuwa nimetengeneza, ili yapate kukaa humo, kama vile ambavyo Yehova alikuwa ameniamuru.+

6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+ 7 Kutoka huko wakaondoka kuelekea Gudgoda, na kutoka Gudgoda kuelekea Yotbata,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji yanayotiririka.

8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+ 9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+ 10 Na mimi—mimi nilikaa mlimani kama siku za kwanza, siku 40, mchana na usiku,+ naye Yehova akanisikiliza pia katika pindi hiyo.+ Yehova hakutaka kukuharibu wewe.+ 11 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Ondoka, nenda mbele ya watu ili watoke, wapate kuingia na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa wao.’+

12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+ 13 kuzishika amri za Yehova na sheria+ zake ninazokuamuru wewe leo, kwa faida yako?+ 14 Tazama, mbingu, naam, mbingu za mbingu,+ dunia+ na vyote vilivyomo, ni mali ya Yehova. 15 Ila Yehova alishikamana na mababu zako na kuwapenda, hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao,+ naam, ninyi, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu, kama ilivyo leo hii. 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+ 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+ 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. 19 Ninyi pia lazima mumpende mkaaji mgeni,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+

20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+ 21 Yeye ndiye unayepaswa kumsifu,+ naye ni Mungu wako, ambaye amekutendea wewe mambo haya makuu na yenye kuogopesha ambayo macho yako yameona.+ 22 Mababu zako walishuka kuingia Misri+ wakiwa na nafsi 70, na sasa Yehova Mungu wako amekufanya kama nyota za mbinguni kwa wingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki