Kumbukumbu la Torati 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na mjitayarishe kuondoka, ili waingie na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa.’+
11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na mjitayarishe kuondoka, ili waingie na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa.’+