Zaburi 89:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mbingu ni yako,+ dunia pia ni yako;+Nchi yenye kuzaa na vinavyoijaza+—wewe mwenyewe umeviwekea msingi.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
11 Mbingu ni yako,+ dunia pia ni yako;+Nchi yenye kuzaa na vinavyoijaza+—wewe mwenyewe umeviwekea msingi.+
66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+