18 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu duniani?+ Tazama! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse basi, nyumba hii ambayo nimeijenga!+
24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama Huyu alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyofanywa kwa mikono,+