Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+

      Wa bahari, na vyote vilivyomo,+

      Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+

  • Matendo 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema:

      “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+

  • Matendo 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kusema: “Wanaume, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi pia ni wanadamu+ tulio na udhaifu+ uleule kama ninyi, nasi tunawatangazia ninyi habari njema, ili mgeuke kutoka kwa mambo haya ya bure+ mpate kumjia Mungu aliye hai,+ aliyefanya mbingu+ na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki