Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+

  • Nehemia 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe.

  • Zaburi 146:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+

      Wa bahari, na vyote vilivyomo,+

      Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+

  • Ufunuo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki