Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+

  • Nehemia 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe.

  • Yeremia 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

  • Matendo 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema:

      “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+

  • Ufunuo 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki