25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+
9 Na wakati wowote hao viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani+ Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme,+ Yule anayeishi milele na milele,+