Zaburi 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+ Ufunuo 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yule aliyeketi juu ya kiti cha ufalme+ akasema: “Tazama! Ninafanya vitu vyote kuwa vipya.”+ Pia, anasema: “Andika, kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.”
8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+
5 Na Yule aliyeketi juu ya kiti cha ufalme+ akasema: “Tazama! Ninafanya vitu vyote kuwa vipya.”+ Pia, anasema: “Andika, kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.”