Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

  • Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+

  • Waroma 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Mungu hupendekeza upendo+ wake mwenyewe kwetu kwa kuwa, tulipokuwa tungali watenda-dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.+

  • 1 Yohana 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hili upendo wa Mungu ulifunuliwa kwa habari yetu,+ kwa sababu Mungu alimtuma Mwana+ wake mzaliwa-pekee kuja ulimwenguni ili tupate uzima kupitia yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki