Mwanzo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+ Zaburi 150:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 150 Msifuni Yah!+Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu.+Msifuni katika anga la nguvu zake.+ Ufunuo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+
6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+