2 Mambo ya Nyakati 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wakaanza kukaa ndani yake, nao wakakujengea patakatifu ndani yake kwa ajili ya jina lako,+ wakisema, Zaburi 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sauti ya Yehova huwafanya paa watetemeke kwa maumivu ya kuzaa+Na kuivua kabisa misitu.+Na katika hekalu lake kila mmoja anasema: “Utukufu!”+ Zaburi 116:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika nyua za nyumba ya Yehova,+Katikati yako, Ee Yerusalemu.+Msifuni Yah!+ Zaburi 134:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+
8 Nao wakaanza kukaa ndani yake, nao wakakujengea patakatifu ndani yake kwa ajili ya jina lako,+ wakisema,
9 Sauti ya Yehova huwafanya paa watetemeke kwa maumivu ya kuzaa+Na kuivua kabisa misitu.+Na katika hekalu lake kila mmoja anasema: “Utukufu!”+