Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,

      Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+

  • Zaburi 141:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+

      Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+

  • Maombolezo 3:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Acheni tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu aliye mbinguni:+

  • 2 Wakorintho 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana jambo tunalojisifia ni hili, ambalo dhamiri yetu inalitolea ushahidi,+ kwamba kwa utakatifu na unyoofu wa moyo wa kimungu, si kwa hekima ya kimwili+ bali kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu, tumejiendesha katika ulimwengu, lakini hasa kuwaelekea ninyi.

  • 1 Timotheo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki