Kutoka 29:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nawe utamtoa mwana-kondoo dume mmoja asubuhi,+ na kumtoa yule mwana-kondoo dume mwingine kati ya zile jioni mbili.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 63:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo nitakusifu muda wote wa maisha yangu;+Katika jina lako nitaiinua mikono yangu.+ Zaburi 134:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+ 1 Timotheo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+
39 Nawe utamtoa mwana-kondoo dume mmoja asubuhi,+ na kumtoa yule mwana-kondoo dume mwingine kati ya zile jioni mbili.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+
8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+