Zaburi Wimbo wa Mipando. 134 Mbarikini Yehova,+Ninyi nyote watumishi wa Yehova,+Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+ 2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+ 3 Yehova na awabariki kutoka Sayuni,+Yeye ambaye ni Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+