Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

      Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+

      Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+

  • Zaburi 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Na atume msaada wako kutoka katika mahali patakatifu,+

      Na kukutegemeza kutoka Sayuni.+

  • Zaburi 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu mwenyewe ameangaza.+

  • Zaburi 128:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova atakubariki kutoka Sayuni.+

      Uone pia uzuri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako.+

  • Waroma 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki