Zaburi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+ Zaburi 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na atume msaada wako kutoka katika mahali patakatifu,+Na kukutegemeza kutoka Sayuni.+ Zaburi 50:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu mwenyewe ameangaza.+ Zaburi 128:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova atakubariki kutoka Sayuni.+Uone pia uzuri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako.+ Waroma 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+
7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+
26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+