Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo;

  • Zaburi 103:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+

      Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+

  • Zaburi 135:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee nyumba ya Israeli, mbarikini Yehova.+

      Ee nyumba ya Haruni, mbarikini Yehova.+

  • Luka 1:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+

  • Yakobo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki