1 Mambo ya Nyakati 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo; Zaburi 103:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+ Zaburi 135:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee nyumba ya Israeli, mbarikini Yehova.+Ee nyumba ya Haruni, mbarikini Yehova.+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+ Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+
30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo;
68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+
9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+