19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+
24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, Mwenye Nguvu wa Israeli,+ asema hivi: “Aha! Nitajiondolea wapinzani wangu, nitajilipizia kisasi+ juu ya adui zangu.+