18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+
14 Ndiyo, Enoko,+ wa saba kutoka kwa Adamu, alitoa unabii pia kuwahusu, wakati aliposema: “Tazama! Yehova alikuja pamoja na watakatifu wake makumi ya maelfu,+