10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.
5 Nanyi mtakimbilia bonde la milima yangu;+ kwa sababu bonde la milima hiyo litafika mpaka Aseli. Nanyi mtakimbia, kama vile mlivyokimbia kwa sababu ya lile tetemeko la nchi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda.+ Na Yehova Mungu wangu atakuja,+ watakatifu wote wakiwa pamoja naye.+