Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

      Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Zaburi 149:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+

      Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+

      Msifuni Yah!+

  • Yoeli 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Toeni msaada wenu na mje, enyi mataifa yote jirani,+ mkusanyike pamoja.’ ”+

      Mahali pale, Ee Yehova, uwashushe watu wako wenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki