Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+ Zaburi 149:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+ Yoeli 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Toeni msaada wenu na mje, enyi mataifa yote jirani,+ mkusanyike pamoja.’ ”+ Mahali pale, Ee Yehova, uwashushe watu wako wenye nguvu.+
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+
9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+
11 Toeni msaada wenu na mje, enyi mataifa yote jirani,+ mkusanyike pamoja.’ ”+ Mahali pale, Ee Yehova, uwashushe watu wako wenye nguvu.+