Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mbarikini Yehova, enyi malaika zake,+ mlio na uwezo katika nguvu, mnaolitenda neno lake,+

      Kwa kuisikiliza sauti ya neno lake.+

  • 2 Wathesalonike 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini, kwenu ninyi mnaopata dhiki, kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo+ wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu+

  • Ufunuo 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, majeshi yaliyokuwa mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, nayo yalikuwa yamevikwa kitani bora cheupe, safi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki