14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?”
35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+
19 Malaika akamjibu akamwambia: “Mimi ni Gabrieli,+ anayesimama karibu mbele za Mungu, nami nilitumwa kusema+ na wewe na kukutangazia habari njema ya mambo hayo.