Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+

  • 1 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+

  • Zaburi 103:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mbarikini Yehova, enyi malaika zake,+ mlio na uwezo katika nguvu, mnaolitenda neno lake,+

      Kwa kuisikiliza sauti ya neno lake.+

  • Zaburi 148:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Msifuni, enyi malaika zake wote.+

      Msifuni, enyi jeshi lake lote.+

  • Danieli 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi+ alikuwa amesimama katika upinzani+ juu yangu kwa siku 21, na, tazama! Mikaeli,+ aliye mmoja wa hao wakuu wa mbele,+ akaja kunisaidia; nami nikabaki hapo kando ya wafalme wa Uajemi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki