19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+
13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi+ alikuwa amesimama katika upinzani+ juu yangu kwa siku 21, na, tazama! Mikaeli,+ aliye mmoja wa hao wakuu wa mbele,+ akaja kunisaidia; nami nikabaki hapo kando ya wafalme wa Uajemi.+